Katika hali ya dharura ya papo hapo, inayotishia maisha kama vile:
- Maumivu ya kifua au kubanwa kwa kifua
- Ganzi ya ghafla au kupooza kwa uso, mkono au mguu
- Kuchomeka kwingi
- Ajali mbaya
- Kutokwa na damu nyingi
- Ugumu wa kupumua
- Maumivu makali
- Kukosa fahamu
Piga simu kwa Ziro Tatu (000) na mpokea simu ataweza kukusaidia .
Ikiwa unahitaji huduma ya haraka lakini sio hatari kwa maisha:

Huduma ya bure, hakuna rufaa au kadi ya matibabu inahitajika

Huduma ya bure ya masaa 24/7, hakuna rufaa au kadi ya matibabu inahitajika
Unaweza pia kupata usaidizi kutoka kwa:

24/7 piga 1300 60 60 24

Piga 13SICK (13 7425)

Tafuta mtandaoni ili kupata duka la dawa karibu
Updated